Asubuhi
ya July 18 kutoka Moshi zilitoka taarifa za mfanyakazi wa ndani wa
kiume [Houseboy] kumpasua kichwa mtoto mdogo wa darasa la 3 kisha ubongo
wake kuamua kuutafuna.
Baada ya kumaliza tukio hilo kilichofuata ni yeye kujikata sehemu zake
za siri,Hapa utawasikiliza mashuhuda wa tukio hili pamoja na kamanda wa
polisi mkoa wa Kilimanjaro
No comments:
Post a Comment