FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Saturday 19 July 2014

HAKIKA DUNIA INAELEKEA BABAYA!! TIZAMA TUKIO LA KUTISHA, JAMAA ALIYEMPASUA KICHWA MTOTO KISHA KULA UBONGO WAKE.


 
HKHKAsubuhi ya July 18 kutoka Moshi zilitoka taarifa za mfanyakazi wa ndani wa kiume [Houseboy] kumpasua kichwa mtoto mdogo wa darasa la 3 kisha ubongo wake kuamua kuutafuna.
Baada ya kumaliza tukio hilo kilichofuata ni yeye kujikata sehemu zake za siri,Hapa utawasikiliza mashuhuda wa tukio hili pamoja na kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro

No comments:

Adbox