FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Friday 1 January 2016

Pichaz za Neymar, Ronaldo, Kevin De Bruyne, Lampard, Walcott na wengine walivyosherehekea mwaka mpya 2016 ..


Ikiwa ni siku ya kwanza katika mwaka 2016 yaani mwaka mpya, kila mtu amesherehekea kwa namna yake. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee pichaz za mastaa wa soka walivyosherehekea sikukuu ya mwaka mpya. Wengine walisherehekea sikukuu ya mwaka mpya wakiwa majumbani kwao na wapenzi wao na wengine kwa vinywaji flani hivi.
4
Kiungo wa Man United Bastian Schweinsteiger
5
Harry Kane wa Tottenham Hotspurs na mpenzi wake
6
Neymar
8
Neymar wa FC Barcelona na washikaji zake
9
Cristiano Ronaldo akijiandaa kugonga vyombo
asdf
Frank Lampard na familia yake
1
Kevin De Bruyne wa Man City akiwa na mpenzi wake
2
Theo Walcott wa Arsenal na mpenzi wake
3
Smalling wa Man United na mpenzi wake

No comments:

Adbox