FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Friday 1 January 2016

Pata picha Jay Z, Drake, Rick Ross, P Diddy na Chris Brown wanatokea kama machifu wa Nigeria.. (+Pichaz)


Ubunifu wa michoro umekuwa maarufu sana siku hizi na ni kitu kinachovutia… najua hawa mastaa wote hawajawahi kuonekana wakiwa na mavazi ya kiafrika, pata picha etiChris Brown anatupia nguo za kiafrika itakuwaje??!!
Hapa nimepata picha za ubunifu ambazo wanaonekana DrakeJay ZP DiddyRick Ross na Chris Brown kwenye muonekano wa nguo ambazo mara nyingi tumeziona wakivaa Wanigeria.
Chris-Brown-as-Chris-Kofi-Sarpong-Brown-600x600
Chris Brown
Drake-as-Aubrey-Drake-Abdul-Salam-Graham-PALMWINEPAPI-600x587
Rapper Drake
Jay-Z-as-Chief-Shawn-Ugonna-Jay-Z-Carter-600x600
Rapper Jay Z
Puff-Daddy-as-Sean-Puffy-Nana-Antwi-Combs
Rapper P Diddy
Rick-Ross-as-Mazi-Odinnaka-Rosey-600x599
Rapper Rick Ross

No comments:

Adbox