FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Monday 20 April 2015

Ndege ya kipekee inayotumia nguvu ya jua ilikwamia China, kitu kimoja tu kimeikwamisha (picha 10).


n13Ni ndege ambayo ilianza safari yake March 9 2015 Abu Dhabi na ikafanikisha salama safari zake kwa kupaa angani na kupita Oman, India na Myanmar.
Marubani wawili wanaoiendesha wanasema wanataka kuvunja rekodi kwa kuuthibitishia ulimwengu kwamba Ndege inayotumia nguvu ya Jua inaweza kutumika kwenye dunia ya sasa.
N1Pamoja na hayo, safari yao bado ni ndefu ambapo siku mbili zilizopita waliripotiwa na CNN kwamba safari yao imekwama China kwa zaidi ya wiki mbili baada ya kushindwa kupaa kutokana na hali mbaya ya hewa, hali ikiwa mbaya inavunja masharti ya kuipaisha ndege hii.
N4
n5
n6
n7
n8
n9
n10
n11
n12

No comments:

Adbox