
Katika mahojiano aliyoyafanya na kituo cha BBC
amekana madai hayo na kusema malumbano yanayoendelea ndani ya Bunge
hilo yanatokana na siasa za chuki baina ya Wabunge na kusababisha Bunge
hilo kutimiza majukumu yake.
Uchunguzi unafanyika ili kujua kama madai yaliyopelekea kumsimamisha yalikuwa na ukweli wowote.
Hapa nimekuwekea taarifa hiyo ambayo iliripotiwa na BBC, unaweza kubonyeza play kuisikiliza.
No comments:
Post a Comment