Mzoga
wa samaki aina ya nyangumi umeibuka katika pwani ya Mtwara leo baada ya
kukutwa ukielea bahari kuu na wavuvi. Mzoga huo ulivutwa hadi pwani kwa
mshangao wa wananchi. Taarifa kamili ya tukio hilo zinatafutwa kwa sasa
angalia taswira za mzoga huo
Tuesday 9 September 2014
NYANGUMI AIBUKA PWANI YA MTWARA, TAZAMA PICHA HIZI HAPA UONE KILICHOTOKEA
Tags
# udaku
About Jogoo Mtundu
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
udaku
Lebo:
udaku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment