FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Friday 1 August 2014

HUYU DIAMOND NI SHEDA SIKILIZA NYIMBO MPYA KABISA AKICHANA KATIKA HII FREE STYLE


Kabla ya kutoka na ‘Kamwambie’ na kisha kufuata na hits nyingi mfululizo, Diamond alikuwa rapper. Na katika kuthibitisha kuwa bado anaweza kuchana, hitmaker huyo ameitumia beat ya wimbo ‘Show Me’ wa Kid Ink f/ Chris Brown kwenye kipindi cha The Hitlist cha Choice FM na kuwaacha watangazaji wa show hiyo mdomo wazi. 



                             cheki ngoma ya mchizi wake Diamond download hapa

No comments:

Adbox