Picha zinazoonyesha jinsi mtangazaji wa
kituo cha Redio cha Times, Khadija Shaibu alivyochezea kichapo kutoka
kwa mumewe, Edzen Jumanne zimevuja.
Majeraha katika mwili wa Dida baada ya kipigo kutoka kwa mumewe Ezden.
Picha hizo zinamuonesha Dida akiwa na majeraha makubwa sehemu mbalimbali za mwili wake ikiwemo mkononi, kichwani na mapajani.BONYEZA HAPA ILI KUPATA UMBEA ZAIDI WA MASTAA |
Dida.
Akizungumzia kipigo hicho hivi karibuni, Dida alidai kuwa, baada ya
kutofautiana kufuatia wivu wa kimapenzi, mume wake huyo baada ya
kumporomoshea mitusi, alichukua mkanda wa suruali na kumpiga nao hadi
kumsababishia majeraha hayo hali inayomfanya muda mwingi avae kininja
kuficha aibu.
Dida akionyesha majeraha aliyoyapata.
Mpaka sasa wawili hao kila mmoja kivyake huku ndoa ikielezwa kuwa haipo tena.
No comments:
Post a Comment