Denti wa darasa la sita aliyenaswa kwenye kambi ya machangudoa akidaiwa kujihusisha na biashara haramu ya kuuza mwili.
Fichua
Maovu (OFM) ya Global Publishers imemnasa denti wa darasa la sita
anayesoma shule ya msingi (jina linahifadhiwa kimaadili) kwenye kambi ya
machangudoa akidaiwa kujihusisha na biashara haramu ya kuuza mwili.Tukio hilo lilijiri wiki iliyopita maeneo ya Kahumba mjini Morogoro usiku wa manane ambapo kachero wa OFM alipokea simu kutoka kwa watu walioumizwa na jambo hilo huku wakimwonea huruma kwani alikuwa akichukuliwa na mijibaba. BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
No comments:
Post a Comment