FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Monday 21 March 2016

Cyril Kamikaze kaguswa na headlines za Mkali wa Hip Hop Chid Benz, kayaandika haya

Headlines za msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka Ilala, Rashid Makwilo aka Chid Benz zinazidi kuchukua nafasi katika mitandao mbalimbali, sasa leo March 20, 2016 mkali Cyril Kamikaze kupitia ukurasa wake wa instagram ameonekana kuguswa na kuamua kuandika.
‘Mara nyingi binadamu anapokua kwenye matatizo ndipo kila mtu ana mnyooshea kidole , kiukweli nina fahamu pressure ya kua mtu maarufu ilivyo na wakati mwingine kama hauja jipanga vizuri ni kitu kinaweza kukutesa sana kwa sababu unapo kua mwenyewe na kuwaza inaweza kukupeleka pabaya kabisa sababu ni presha nzito sana ambayo wengii hawawezi control ata wewe ambae unaishi maisha ya kawaida ukiingia huku tulipo ungeelewa kwa sasa najua ni ngumu,kuna wengine wanajatibu kujiua wengine wanarukwa na akili wakati walikua wazima ila yote ni mambo na matatizo tunayokutana nayo duniani sometimes the state of mind inakua ngumu kua controlled’ Cyril
Cheiwwwww
Kuna msemo unaosema kabla hujafa hujaumbika ,Ila binadamu tuwe tunajaribu kum push mtu ata kwa uzuri Chid amekuwa akijaribu kutoa nyimbo kadhaa lakini wengi hawakutoa support ya ku post cover yake kama ambavyo hizi picha za afya yake kubadilika zilivyo trend , sio kitu kizuri kuna muda wewe kama binadamu unahitaji kujua kuna kupanda na kushuka kuna magonjwa na afya njema utajiri umaskini hili linamkuta yoyote yule haijalishi kama maarufu ama sio… Wakati huu sio wakumcheka Chid Benz ni muda wakuwa karibu na kum support’Cyril
Support yako mtanzania hata kumpa moyo kumpokea kwa ku support kazi zake zinaweza mbadilisha chid huyu mnae muona leo na kua a better person ila kejeli na maneno machafu huzidisha mawazo na kumfanya awe vibaya zaidi .. Well najua kaka yangu Rashid uko strong sana,sababu mi napata nafasi ya kuongea nawewe huo mwili wala isiwe sababu ya watu kuona namna gani vipi najua unaweza vuka kwenye hii hali naamini Mungu yuko pamoja na wewe bado nafasi ipo saaana mfalme wa ilala DONT GIVE UP !! #CHIDBENZANAWEZA #HALIYACHIDBENZSIOMWISHOWAKE #SUPPORTCHIDBENZ’ – Cyril


No comments:

Adbox