Ni hapa katika uwanja wa shule ya msingi Mabatini,kata ya Mbugani jijini Mwanza muda huu.Hali ni tulivu na uwanja umeshaanza kujaa,pilika za hapa na pale zinaendelea.
Wagombea toka mitaa ya kata hii wapo,mbunge wa Nyamagana Ezekiel Wenje yupo na mhutubiaji mkuu, ni mbunge wa Musoma Mjini Vicent Nyerere,picha zitakuwepo punde,
Usicheze mbali na uzi huu.
UPDATES:Bado viongozi wa kata wanaendelea kutoa nasaha zao kwa wapiga kura,huu ni mkutano wa kata.
-Wagombea wanaendelea kutambilishwa asilimia 85 ya wagombea ni akina mama.
-Vicenti Nyerere jukwaani anaelezea kashfa ya Escrow
Wednesday, 3 December 2014
Uzinduzi wa kampeni Serikali za Mitaa Kata ya Mbugani,Jimbo la Nyamagana-Mwanza
Tags
# siasa
About Jogoo Mtundu
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
siasa
Lebo:
siasa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment