BEAUTIFUL
Onyinye, Wema Sepetu ametangaza dau la shilingi milioni moja kwa yeyote
atakayefanikisha kupatikana kwa mbwa wake aitwae Vanila aliyepotea hivi
karibuni.![]() |
Msanii huyo alisema anaomba yeyote atakayemuona Vanila wake awasiliane naye au atoe taarifa kituo chochote cha polisi kilicho karibu naye na atakabidhiwa pesa zake taslimu.


Mbwa wa Wema Sepetu aitwae Vanila.
No comments:
Post a Comment