Binti wa miaka 11 mwenye asili ya kihindi ameonekana kuwa na hali ya maisha tofauti baada ya kumfanya nyoka kuwa kama ndio rafiki yake,mtoto huyu anye miliki nyoka aina ya kobra ambaye nyoka huyo hugonga na kumng'ata mara kwa mara lakin cha ajabu ni kwamba mtoto huyu amekuwa hasiki kabisa juu ya swala lake la kumwacha nyoka huyo na bado akiendelea kumpa matunzo kama chakula na hata kufikia hatua ya kulala naye kabisa katika kitanda kimoja,Mtoto huyo anayejulikana kwa jina la Kajol Khan alihojiwa na mtandao wa daily mail na ailikuwa na haya ya kusema |
Saturday 9 August 2014
TAZAMA MTOTO WA MIAKA 11 ALIYESTAJABISHA WATU BAADA YA KUKUTANA NA NYOKA
About Jogoo Mtundu
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment