MALOVEE! Baada
ya kukaa kimya kwa muda mrefu, staa wa Bongo Fleva anayetamba na wimbo
wake wa Nitasubiri, Juma Khalid ‘Jux’, kwa mara ya kwanza amevunja
ukimya na kufungukia penzi lake na modo anayedaiwa kufungwa nchini China
kwa msala wa madawa ya kulevya ‘unga’, Jacqueline Fitzpatrick Cliff
‘Jack Patrick’.
MALOVEE! Baada
ya kukaa kimya kwa muda mrefu, staa wa Bongo Fleva anayetamba na wimbo
wake wa Nitasubiri, Juma Khalid ‘Jux’, kwa mara ya kwanza amevunja
ukimya na kufungukia penzi lake na modo anayedaiwa kufungwa nchini China
kwa msala wa madawa ya kulevya ‘unga’, Jacqueline Fitzpatrick Cliff
‘Jack Patrick’.




No comments:
Post a Comment