FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Tuesday 8 July 2014

UNAAMBIWA ZILE PICHA ZA KINA AUNT, WEMA, KADINDA ZATIBUA SWAUMU ZA WATU

OOHOO! Picha ambazo hazijakaa poa katika kipindi hiki cha Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani za mastaa, Aunt Ezekiel, Wema Sepetu na Martin Kadinda zimetibua swaumu za Waislamu waliofunga.

Mastaa wa Bongo Muvi Aunt Ezekiel na Wema Sepetu.
Picha hizo zinazoonesha ni za kipindi cha Wema cha In My Shoes kinachorushwa kupitia EATV, zinawaonesha sehemu ya juu wakiwa wazi.
Wema Sepetu akikumbatiana na Meneja wake, Martin Kadinda.
“Huyu aliyeachia hizi picha ametutibua sana sisi tuliofunga, alilenga kutuharibia swaumu zetu, haijakaa poa sana,” ilisomeka sehemu ya maoni ya picha hizo kwenye mitandao ya kijamii.

No comments:

Adbox