Mastaa wa Bongo Muvi Aunt Ezekiel na Wema Sepetu.
Picha hizo zinazoonesha ni za kipindi cha Wema cha In My Shoes
kinachorushwa kupitia EATV, zinawaonesha sehemu ya juu wakiwa wazi.“Huyu aliyeachia hizi picha ametutibua sana sisi tuliofunga, alilenga kutuharibia swaumu zetu, haijakaa poa sana,” ilisomeka sehemu ya maoni ya picha hizo kwenye mitandao ya kijamii.
No comments:
Post a Comment