FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Friday 11 July 2014

TAZAMA PICHA UONE JINSI DIAMOND ALIVYOPOKELEWA KAMA MFALME WAKATI AKIWASIL AIRPORT

Nikwa mda mlefu sasa nilikuwa nje ya nchi kwa maswala ya Music,ikiwemo kushiriki utolewaji wa Tuzo za BET zilizofanyika L.A nchini Marekan,na jana ndiyo siku niliyorudi,kiukweli sikutegemea kukutna na nilichokikuta,umati mkubwa wa watu wakliokuwa wamejitokeza kunipokea,kiukweli imenipa faraja sana ,kuona ji kias gani Watanzania wenzangu ,wamekuwa na uzarendo kwangu kiasi hiki,nawashukuru wote walioacha kazi zao,ama kuvunja ratiba zao,na kuja airport kunipokea,Ahsanteni na ninawapenda daima


















SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO

No comments:

Adbox