Zimepita
siku 10 tangia Mkali wa Bongo Fleva hapa tanzania Diamond Platnumz
kuachia Video zake Mbili hewani. Tukiwa tunafuatilia kwa karibu ni Video
ipi imeonekana kupendwa na kuangaliwa sana katika mtandao wa Youtube.Video ya Mdogo mdogo ndiyo kwa sasa inaoyoongoza kwa kuangaliwa na Watu wengi kutoka ndani na Nje ya Tanzania ikiwa imefikisha zaidi ya Views 216,336 huku video ya BumBum


No comments:
Post a Comment