Gari la dude muda mfupi baada ya kukamatwa, Dude alitokea Polisi.
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika, gari hilo aina ya Vitz lenye namba za usajili T 360 BAJ,
lilikutwa likiwa na vijana wawili ndani yake, waliotajwa kwa majina ya
Seif Jafari na Longina Ramadhani, waliotaka kupora Bajaj yenye namba za
usajili T 296 CSC iliyokuwa ikiendeshwa na Seleman Khalfani.
Waandishi wetu walifanya jitihada za kumtafuta Dude ili azungumzie taarifa hizo, lakini aliwataka kufuatilia jambo hilo katika kituo cha Polisi, akisema suala hilo lipo mikononi mwao.
![]() |
Kulwa Kikumba ‘Dude’
Shauri linalomkabili msanii huyo limefunguliwa kwa Jalada namba .KJL/RB/6399/14 UNYANG’ANYI
No comments:
Post a Comment