FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Saturday 19 July 2014

KWA WADADA: SOMA HII INAWEZA KUWA BAHATI YAKO,MUME WA DIDA EDZEN ATAJA SIFA ZA MWANAMKE ANAYE TARAJIA KUMUOA


Stori: Deogratius Mongela

BAADA ya kuachana na mkewe ambaye ni mtangazaji wa kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kinachorushwa na Redio Times, Hadija Shaibu ‘Dida,’ mtangazaji wa kituo cha Televisheni cha TV1, Ezden Jumanne ametaja sifa za mwanamke atakayekuja kumuoa kama akitaka kufanya hivyo.

Akizungumza na mwandishi wetu nyumbani kwake, Kijitonyama jijini Dar, Ezden alisema kuwa kutokana na kupitia kipindi kigumu cha kuachana na aliyekuwa mkewe amedai kuwa hafikirii kuoa kwa sasa lakini kama akija kuoa tena atamhitaji mwanamke mcha-Mungu, mwenye heshima, asiyemlevi na atakayejitambua kama ni mke wa mtu.

No comments:

Adbox