FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Monday 21 July 2014

Hivi ndivyo Dr.Cheni alivyosherehekea siku yake ya kuzaliwa July 20.




29chnNi jioni iliyowakusanya watu wengi ambao walikuja kwa ajili ya kuona namna brother kutoka kiwanda cha filamu Tanzania Dr.Cheni anavyosherehekea siku yake ya kuzaliwa ambayo ni July 20.
Mastar kadhaa kutoka Bongo Movie na Bongo Fleva walikusanyika kumpongeza Dr.Cheni kwenye siku yake hii ambayo kwake kaitumia kuwafuturisha wote waliohudhuria kisha ikafata kula keki kwa kila aliyehitaji.
Miongoni mwa mastar kadhaa walikuwepo ni pamoja na Jb,Shamsa Ford,Ray,Steve Nyerere,Shetta,Profesa Jay,Lulu,Mrisho Mpoto,Ray,Young killer,Khadija Kopa na wengine kibao.
164chn
163chn
160chn
159chn
154chn
151chn
148chn
145chn
142chn
136chn
132chn
130chn
129chn
128chn
127chn
126chn
124chn
121chn
120chn
119chn
118chn
109chn
89chn
91chn
95chn
99chn
102chn
86chn
85chn
83chn
81chn
77chn
74chn
61chn
62chn
72chn
51chn
58chn
66chn
49chn
23chn
14chn
dokta cheni

No comments:

Adbox