FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Saturday 5 July 2014

FAHAMU ALIPOHAMIA YULE MTAALAMU WA TIBA MBADALA DR PYELA ISSA,



Dr Pyela Issa akiwa katika ofice yake ndani ya Clinic yake (DR PYELA ISSA HEALTH CLINIC) ilioko Chanika jijini Dar Es Salaam, Sio mbali sana na kituo cha daladala za Chanika kwa kifupi utakuta mabango makubwa hapo yenye picha ya Dr Pyela sambamba na namba zake za simu, Kutoka kwenye kituo cha daladala Chanika mwisho unasogea mbele kidogo yani njia panda ya


kuelekea mvuti ni umbali wa takribani mita mia tatu tu! kwenye jengo la shule ya HEROES mkabala na mnara wa Airtel, nadhani utakuwa umefika kwa Dr Pyela Issa kwa uwezo wa M/mungu matatizo yako yatakuwa yamekwisha. kwa mawasiliano Piga simu namba +255769604506 +255658779540





Dr Pyela Issa


Moja kati ya chupa za Dawa katika Clinic ya Dr Pyela Issa.


Hapa akionyesha dawa inayokabiliana na ugonjwa wa kisukari




Baadhi ya Dawa katika Clinic ya Dr Pyela Issa.








Madawa tofautitofauti kulingana na magonjwa husika.


Hapa ndio Chanika Mwisho zinapogeukia Daladala na hilo hapo ndio Bango la Dr Pyela Issa, Ukifika hapo nadhani utakuwa karibu kabisa na DR PYELA ISSA HEALTH CLINIC.


Chanika Mwisho


Leseni ya Dr Pyela Issa

No comments:

Adbox