Kwa lugha rahisi ya sasa hivi ni kwamba chadema imechepuka na mchepuko
wake ni ACT. Nakihurumia sana hiki chama. Makada wake wanatumia muda
mwingi sana kuishambulia ACT na viongozi wake huku wakiacha masuala
nyeti ya taifa hili yakiwa "untouched". ...maadui wao wakubwa hivi sasa
ni mwigamba,zitto,na kitila et al.
Agenda sensitive kama vile uchaguzi wa serikali za mitaa
wameiacha.kuboreshwa Daftari la mpiga kura,ufisadi nk sasa sio agenda
yao tena...wamehama kwenye reli.
Hizo hoja hapo juu ndio zimekiporomosha hiki chama kwa 77%, hivi sasa
kimebaki hapa jf na kwa viongozi wake. Leo hii huwezi ukapita mtaani
ukamwambia mtu peoplesss!!!! Akajibu confidently..poweeeeerrrrr!!!! !
Haipo tena hususan tangu the zitto et al saga imeanza..imekolezwa chumvi
na ukawa na hivi karibuni na wajumbe 82 na the most currently na
msajili..kwa sababu kila chadema wanapojitahidi kujibu hoja kwenye media
zinakuwa nyepesi,zilizojaa matusi,kejeli na uwongo mwingi, hawajikiti
kwenye mada husika.
Ushauri kwa chadema 2015 ileeee kwenye kona
Ushauri kwa ACT enezeni sera za chama chenu,fanyeni ziara mikoani,ile ajali isiwadhoofishe
Ushauri kwa ccm...adui muombee njaa..tumieni hii fursa ipasavyo
Ushauri kwa cuf/nccr ....pigeni ndogondogo,chadema inasinyaa.
No comments:
Post a Comment