FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Friday, 13 June 2014

Rose Ndauka na Jack Pentzel urafiki wao warudi upya



Mastar wa Bongo Movie waliokuwa waliowahi kuunda kundi la JAROWE yani Jack, Rose wamerudi tena kundini, ikiwa bado mwenzao Wema Sepetu.
Jack Ambaye ni mke halali wa Bw. Gadner Dibibi na shosti wake Rose nae yuko mbioni kufunga ndoa na msanii wa Bongo Fleva Mariki Bandawe ambae tayari ameshamchumbia hivi karibuni na kutoa Posa. Habari za kupatikana kwa Wema Sepetu kumuuliza kama na yeye amerudi kwenye kundi lao ilo zimegonga mwamba lakini tutawajuza hivi karibuni.

No comments:

Adbox