FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Sunday, 8 June 2014

Mbowe na Viongozi CHADEMA Wahudhuria Warusi ya Nassari, Wakwepa Msiba wa Mama Zitto

Kweli Dunia ina mambo. Hivi karibuni kulitokea msiba wa Mama yake Zitto Kabwe huko Kigoma lakini jambo la kushangaza viongozi wa juu wa Chadema akiwemo Freeman Mbowe hawakuweza kuhudhuria lakini la kushangaza leo ameweza kuhudhuria harusi ya Joshua Nassari huko Arusha.
Kutokana na hili unapata picha gani juu ya Chadema na viongozi wake?

No comments:

Adbox