FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Monday, 9 June 2014

Kifo cha Recho Chamfanya Wolper Afute Mipango ya Kuzaa kwa Kuogopa Kifo


Mwana Bongo Movies amejitokeza na kufunguka kuhusu yeye kushika mimba na kuzaa Jisomee hapa chini alichosema:
"Najua ni Wajibu Wetu kuzaa ila nimekuwa muoga sana wa kushika mimba kwa sababu naogopa kuzaa na nikikumbuka kifo cha Recho ndio Kabisa Hofu Inazidi 
Naitaji Mtoto ila si leo wala kesho nahitaji kujenga ujasiri upya , ila kama ikitokea nitajitahidi kuvumilia"

No comments:

Adbox