FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Wednesday, 11 June 2014

KAMA HUPENDI UDAKU USISOME HII.....LIFE LA K-LYINN HUKO SAUZI [VIDEO]



Daah kama unavyojua tena kwenye BLOG hii itikadi yetu nikukuletea Mastori HOT ya WAREMBO tu..yaani watoto wenye Maumbo Mazuri Mazuri aka MIZIGO...hehhe namkumbuka Sheikh wangu mmoja mzee wa MIZIGO...maarufu kama KIPOOZEO (nadhani wengi tunamfahamu...kamtafute YUTYUBU)
BACK TO THE TOPIC: Mwanamama K-LYININ kama mnavyojua kwasasa haishi hapa BONGO (wambea wa mjini wamenipa habari hizi) makazi ameyahamishia huko kwa MADIBA yaaani SOUZI AFRIKA...Siku za huvi karibuni BLOG hii iliandika STORY juu ya BEI ya kiatu chake [SOMA HAPA]...Sasa leo jionee Mahali anapoishi.......
Kupitia ukirasa wake wa INSTAGRAM wanamama huyu ameshare nasi VIDEO CLIP ndogo ikionyesha LI HOTELI ambalo inasemekana ndipo anapoishi (ITAKUWA NI 8 STAA)..

Jionee mwenyewe!!! HAPA

SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO

No comments:

Adbox