Kama
mtumiaji wa Gesi labda ukiwa nyumbani au kazini kuna wakati unahisi
labda gesi inawahi kuisha au mara kadhaa umekua ukiwalaumu wapishi au
wasichana wa kazi kwa kuhisi wana matumizi mabaya ya gesi,kupitia
Hekaheka ya leo kuna mtu anatoa ushuhuda juu ya kitu kinachofanywa na
wasambazaji wa gesi hizo.
Kama
mtumiaji wa Gesi labda ukiwa nyumbani au kazini kuna wakati unahisi
labda gesi inawahi kuisha au mara kadhaa umekua ukiwalaumu wapishi au
wasichana wa kazi kwa kuhisi wana matumizi mabaya ya gesi,kupitia
Hekaheka ya leo kuna mtu anatoa ushuhuda juu ya kitu kinachofanywa na
wasambazaji wa gesi hizo.


No comments:
Post a Comment