FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Tuesday, 21 January 2014

ONYO KWA WANAOPENDA KUCHAFUA WATU WENGINE MAKUSUDI KWA KUPITIA COMMENTS



Kumekuwa na Tabia ambayo imeanza kujitokeza siku za karibuni kwa watu kuchafua wengine kwa makusudi kwa kupitia comments as Anonymous wakizani kuwa hatuwezi kuwajua...Hiyo ni tabia isiyo vumilika kabisa katika jamiii ..kuanzia sasa ikiwa utamchafua mtu na muhusika akilalamika tutachukua jukumu la kufuatilia wewe ni nani na kukuchukulia hatua zinazohusika....
Asante...Enjoy Posts zetu

No comments:

Adbox