MSANII WA TIPTOP CONECTION AKAMATWA NA GUNIA 40 ZA BANGI SOMA MKASA MZIMA
msanii anayejulikana kwa jina deso hivi kalibuni amekamatwa na gunia 40 za bangi na mpaka sasa yuko mikononi mwa polisi katika kituo cha polisi kibaha na leo jumatatu anategemewa kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka hayo.Akiongea na blog hii ya jogoomtundu chazo cha habari mtuumiwa alikutwa na vitu hivyo katika gari akipeleka mkoani tanga
msanii anayejulikana kwa jina deso hivi kalibuni amekamatwa na gunia 40 za bangi na mpaka sasa yuko mikononi mwa polisi katika kituo cha polisi kibaha na leo jumatatu anategemewa kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka hayo.Akiongea na blog hii ya jogoomtundu chazo cha habari mtuumiwa alikutwa na vitu hivyo katika gari akipeleka mkoani tanga
No comments:
Post a Comment