FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Tuesday 22 April 2014

MAKOSA WANAYOFANYA WANAUME WALIO KWENYE NDOA


1- Kuja na vimada mpk home na kumuacha ndani ya gari

2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati
kumeshadekiwa

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-Kumtambulisha mtoto wako kwa kimada wako.

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa
taarifa.

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike
kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali
atajisikiaje.

8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

9- Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika

10- Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege

11-Kutofua boxer na socks zake hadi wife
awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi

No comments:

Adbox