FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Friday 18 April 2014

DODOMA UPDATES:BIDII ZA KUWATAFUTA VIONGOZI WA UKAWA ZIMEGONGA MWAMBA



DODOMA UPDATES.
• Bidii za kuwatafuta viongozi wa UKAWA zimegonga mwamba ,ila wakati haya yakifanyika, wabunge wa UKAWA wakiongozwa,na Mwenyekiti Ibrahim Lipumba walikutana,African dreams na kuweka mikakati ya pamoja.
• Wabunge wa UKAWA wafikia maamuzi ya kuzunguka Nchi nzima na kueleza wananchi sababu za wao kutoka ndani ya Bunge la Katiba.
• Mkutano mkubwa wa uzinduzi utafanya Zanzibar kesho katika uwanja wa Kibanda maiti
• Mkutano wa uzinduzi wa UKAWA wa kuzunguka Tanzania nzima utahutubiwa na viongozi wote wa vyama vinavyounga ukawa, pia Mtikila, Makaidi na vyama vingine wamejiunga rasmi UKAWA.
• Wajumbe wa UKAWA wamelaani upotoshwaji unaofanywa huku uongozi Ukiwa kimya

No comments:

Adbox