BHitz imeachia wimbo mpya uliofanywa na wasanii wa zamani wa label hiyo, unaitwa ‘Chapa Mtaa’ ambao umewashirikisha wakali hao.
MRap Lion, DJ Choka, Gosby, Mabeste na Deddy.
Wimbo umetayarishwa kwa ushirikiano wa Pancho Latino na Hermy B.
cheki=====>https://soundcloud.com/bobcat-wa-malogo/


No comments:
Post a Comment