FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Wednesday, 4 June 2014

WIMBO MPYA: BHITZ FEAT. DJ CHOKA, MABESTE, DEDDY& MRAP- CHAPA MITAA


 
Wimbo Mpya: BHitz Feat. DJ Choka, Mabeste, Deddy& MRap- Chapa MitaaIle ladha ya timu kali ya B’Hitz ilitajwa na wengi kama timu bora ya wasanii na watayarishaji wa muziki kuwahi kutokea Tanzania imerudishwa tena kwa mashabiki.
BHitz imeachia wimbo mpya uliofanywa na wasanii wa zamani wa label hiyo, unaitwa ‘Chapa Mtaa’ ambao umewashirikisha wakali hao.
MRap Lion, DJ Choka, Gosby, Mabeste na Deddy.
Wimbo umetayarishwa kwa ushirikiano wa Pancho Latino na Hermy B.

No comments:

Adbox