FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Friday, 27 June 2014

SAMAKI MTU


Wadau huyu samaki wa ajabu alionekana akiwa amekufa kule Malaysia baada ya tsunami. Mwangalie samaki huyu kwa makini utaona kuwa ana mbavu, mikono na kichwa kama binadamu. Je huyu ni samaki mtu(mermaid)?. Wadau toeni maoni yenu kuhusu kiumbe hiki cha ajabu.

No comments:

Adbox