Kupitia mtandao wa INSTGARM, mwanadada Fatuma Hassan aka DJ Fetty
ameweka picha yake (hii hapa chini) ambayo ukiiangalia kwamakini utaona
kuwa anaonekana kama amevimba macho..sijui hii nikutokana na lile
VURUMAI la jana STUDIO..au ni maswala mengine....BUT baada na muda
kidogo akaweka tena VIDEO Clip akiwa anaimba na kuindikia TITLE "“One
two one two..” Hapa ndio utamuona vizuri zaidi:
VIDEO 2>>>>>>>>HAPA
No comments:
Post a Comment