



CIndy Rulz ni msanii pekee wa kike anayefanya Hip Hop ambae anafanya vizuri kwa sasa hapa Tanzania huku Ama the maker akiwa anatamba na wimbo wake wa Ulemsoga.
Katika
pitapita zetu camera ya Bongoclan imefanikiwa kupata picha za utata za
msanii Cindy Rulz akiwa na Ama the maker ambaye pia ni msanii. Tukio
hilo lilitokea wik iliyoisha katika club moja ya usiku na kuwaacha watu
midomo wazi.



About Jogoo Mtundu
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.

No comments:
Post a Comment