![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhTZ8jo7cQLA-MuT8QuuPeR8EbjdZglDkL01dp07oXwriQSLlBcc40-_D5VM82hGCfCUQI8BXwNUH1vGUGM30cwDCq_GcCUXBbT_TljOzh8ySe7-7wQs4WzwYs0jbRK-STqXOkv3WP9LWQ/s640/Hamisa-Mobeto.jpg)
Mobeto amefunguka kuwa katika maisha
yake, kamwe hawezi kushea penzi na
mwigizaji Wema .
Modo maarufu Bongo , Hamisa Mobeto.
Akistorisha na Ijumaa Wikienda, Hamisa
alisema watu wamekuwa wakimkosea
kumtaja kuwa anaweza kutoka na Diamond
Platnumz wakati hawezi kufanya hivyo hata
iweje !
yake, kamwe hawezi kushea penzi na
mwigizaji Wema .
Modo maarufu Bongo , Hamisa Mobeto.
Akistorisha na Ijumaa Wikienda, Hamisa
alisema watu wamekuwa wakimkosea
kumtaja kuwa anaweza kutoka na Diamond
Platnumz wakati hawezi kufanya hivyo hata
iweje !
“Siwezi kushea penzi na Wema hata siku
moja, niaminini, nina maisha yangu mengine
kabisa wapo wanaoweza kufanya hivyo lakini
si mimi , ” alisema Hamisa .
moja, niaminini, nina maisha yangu mengine
kabisa wapo wanaoweza kufanya hivyo lakini
si mimi , ” alisema Hamisa .
No comments:
Post a Comment