FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Monday, 30 June 2014

EBBY RAMA MSANII MWENYE MIONDOKO YA JUX MCHEKI HAPA

EBBY RAMA msanii ambaye sasa yupo nchini kenya kufanya nyimbo yake iyo mpaya ya JUST ALONE akimshilikisha msanii BOB CAT na video itafanyika nchini south africa.pamoja na hayo Ebby rama ni miongoni mwa wasanii wanao jituma sana apa nchini ,alizungumza na jogoomtundu kuhusu malengo yake ya baadae kuhusu swala la mziki WAKE KUFIKA MBALI KIMATAIFA.
                                    EBBY RAMA AKIWA NA  JUX PICHANI
                           EBBY RAMA PICHANI NI KATI YA VIPANDE VYA VIDEO YAKE MPYA

                                       EBBY RAMA KI HOME HOME ZAIDI
    Pata habari zaidi ya Ebby rama na mwendelezo wa maisha yake ya kila siku hapa jogoomtundu
                                   BOFYA HAPA KU DOWNLOAD NYIMBO YAKE HAPA
              
michuzi music

No comments:

Adbox