FACEBOOK

LightBlog

Breaking

LightBlog

Saturday, 15 March 2014

Wakutana na kifo wakitafuta kazi Nigeria:

Polisi nchini Nigeria
Inaarifiwa kuwa watu kadhaa wamekufa na wengi kujeruhiwa katika msongamano kwenye uwanja wa michezo wa taifa katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja.
Majeruhi kadhaa wamepelekwa hospitali lakini maafisa hawana uhakika watu wangapi wamekufa.
Mwandishi mmoja wa habari mfaransa anasema aliona maiti saba.
Hayo yalitokea wakati wa kuajiri watu katika idara ya uhamiaji ya Nigeria.
Maelfu ya watu walijitokeza kufanya mtihani wa ajira - inaarifiwa mkanyagano ulitokea walipojaribu kufika katikati ya uwanja.

No comments:

Adbox